Wafilipi 2:10-11
  • DAKIKA 23 MBINGUNI

    naBill Wiese Imenakiliwa kutoka katika CD ya audio,
    Sio kutoka katika kitabu chake. Kwa
    simulizi iliyokamilika, tafadhali nunua
    kitabu chake! Hii
    imetoka katika mkutano wa Kansas City,
    KS ulioitwa "Kansas City kwa ajili ya America". Uzoefu huu wa kuzimu
    ulitokea Novemba 23,
    1998. www.DivineRevelations.info/ SWAHILI (Utangulizi na mtangazaji) Miezi michache iliyopita, Mike Bickle,
    ambaye ninafanya kazi nae katika
    Nyumba ya Kimataifa ya Maombi (International House of Prayer), alinisihi nifundishe juu ya somo la Kuzimu.
    Wakati najifunza somo hilo, nilipewa
    kanda na rafiki aitwaye Steve Carpenter,
    kwenye kanda hiyo kulikuwa na ujumbe
    ambao utaenda kusikia kutoka
    kwa Bill Wiese na mke wake Annette. Ujumbe wake ulibadili Dunia yangu. Na
    moja kwa moja ilibadili namna
    ambavyo familia yangu, marafiki zangu,
    na hata watu nisiowajua. Iliwabadili
    moja kwa moja. Siongezi
    chumvi,kwa hiyo usifikirie naongea kwa kuzidisha maneno hapa, Ilibadili jinsi
    navyotazama kweye miaka
    michache niliyobakiza hapa duniani. Ni
    maombi yangu kwamba Mungu atafanya
    hivyo hata kwako leo. Siongezi
    chumvi umuhimu wa ujumbe huu. Bill ni Mkristo. Aliyatoa maisha yake kwa Kristo
    alipokuwa na umri wa miaka
    16. Amemjua Bwana kwa miaka 32.
    Alihamia California mwaka 1976 na
    alitumia miaka 10 akiwa chini ya
    huduma ya Mchungaji Chuck Smith pale Costa Mesa , California. Bill ni muonaji,
    kama alivyo mke wake. Kwa
    miaka 15 iliyopita , Bill amekuwa katika
    mikutano na katika uongozi kwa misimu
    tofauti ya Eagles Nest, chini ya
    uchungaji wa Dk Gary Greenwald , pale Orange County, California. Mchungaji
    huko Eagles Nest aitwaye
    Mchungaji Raul alikuja kwa Bill na
    alisema miezi kadhaa iliyopita , "Bill,
    Mungu atakwenda kufanya kazi ya
    uamsho atakwenda kuanzia Cansas City kwa America. Atakupeleka pale na
    inabidi uende". Bill na Annette
    hawakuwahi kwenda Kansas City katika
    maisha yao yote. Siku iliyofuata, mimi
    nilimpigia Bill na nikasema," Je,
    unaweza kufikiria kuja Mji wa Kansas? Nimeona video yako na nadhani
    unatakiwa kuja . " Naamini wako hapa
    kwa ajili ya amri ya Mungu. Utaenda kusikia maono ya Kuzimu,
    lakini muhimu zaidi, utakwenda kusikia
    maono ya uhusiano wa karibu na Yesu Kristo na upendo alionao kwa
    dunia nzima. Bill alikuwa kuzimu.
    Hakuwa akiangalia kwa kawaida, kama watu wengi wamekuwa katika maono
    halali, lakini alipata uzoefu wa mateso
    ya kuzimu kwa muda wa nusu saa na hakuwa na matumaini kabisa ya kutoka
    milele. Bill na mke wake wamejitoa kwa
    Yesu Kristo kikamilifu, na kwa kazi ya Mungu, na kwa uongozi wa Roho
    Mtakatifu. Utakwenda kumsikiliza pia.
    Tafadhali nawakaribisha Bill na Annette Wiese. Page 2 2 (Bill Wiese anaongea) Ni heshima kuwa hapa. Safari hii yote
    imekuwa baraka sana kwetu. Kama Hal
    alivyosema, Tuko katika biashara isiyotambulika sana. Hatufanyi hivi kwa
    ajili ya kuishi. Hatufanyi hivi kwa fedha.
    Sisi tunachojua ni kwamba Mungu ametuambia kwenda na
    kuwaambia dunia kuhusu upendo wake
    kwa watu na mahali pale Yeye hataki yoyote wa viumbe wake kwenda. Hiyo
    ndiyo sababu tuko hapa. Hivyo, kwa ajili
    ya muda, nitakwenda kufupisha ushuhuda huu na kusimulia moja kwa
    moja. Lakini kwanza nataka kusema mambo
    kadhaa, maswali ambayo yanaweza
    kuwa katika akili yako. Swali la kwanza kwangu kama ingekuwa
    najisikiliza, ingekuwa, "Umejuaje
    haikuwa ndoto tu uliyoisikia? Ndoto
    mbaya?" mambo kazaa ya kuzingatia, kwanza
    kabla ya yote, Niliuacha mwili wangu.
    Nikauona mwili wangu wakati narudi, umelazwa juu ya sakafu. Hivyo nilijua
    kwa uhakika nilikuwa nje ya mwili (out of
    body experience). Baadhi ya wakristo wamesema, "Oh Mkristo hawezi
    kuuacha mwili wake." Lakini hiyo si kweli,
    Katika 2 Wakorintho 12:2, wakati Paulo alipokuwa juu katika
    mbingu ya tatu, Alisema, "kama katika mwili, au nje ya mwili sijui." Hivyo kama hujui hii inamaanisha kuwa
    inawezekana. Na pia alisema katika
    mstari wa kwanza kwamba ilikuwa ni maono, hivyo naamini hii inakuja chini
    ya uainishaji wa maono. Katika Ayubu 7:14 inasema, "unitishapo kwa ndoto na kunishangaza mimi kwa
    maono." Hivyo hii ni dhahiri hiki ndicho Bwana alifanya, alinishangaza
    kwa njia ya maono. Pia niliporudi kutoka
    katika uzoefu huu, ilinichukua mwaka mzima kutulia, na kuwa kama
    mtu wa kawaida tena. Nilikuwa
    nimezimia moyo na kuchanganyikiwa kutokana na hofu kwamba ilibadili
    mtizamo wangu wa jinsi ya kushuhudia
    na kiasi gani kutambua kile nini Mungu alituokoa nacho. Nitamuomba mke wangu aje kwa dakika
    chache ili aweze kushiriki tu kilichotokea
    wakati yeye aliponikuta katika sebule, kwa sababu mimi sikumbuki kwa
    sehemu hiyo. Hivyo nataka yeye aseme
    maneno machache. Asante. (Mke wa Bill anaongea) Ilikuwa yapata saa 09:23 alfajiri
    nilipoamka. Nimekumbuka hilo kwa
    sababu nilitazama saa yetu ya digital, na niliona Bill hakuwa karibu na mimi,
    nikasikia kelele zinatokea sebuleni.
    Nilianza kutembea/kushuka koridoni. Nilimuona mume wangu kwa namna
    ambayo sikuwahi kumwona kabla. Kama
    kuna mtu anamjua Bill, yeye ni mtu wa misimamo kwa asili, mtaratibu sana,
    na mtu mtaalamu. Yeye si mtu wa
    kupata msisimko tu au kupata hisia za haraka juu ya kitu chochote, isipokuwa
    Mungu anapokuwa kazini. Lakini,
    hatahivyo, nilimuona pale akiwa ameshikwa na butwaa/mshangao, akiwa
    ameshika kichwa chake, akiwa ameweka
    kichwa chake katika mikono yake akipiga kelele na mayowe. Alikuwa
    katika hali ya kujilaza chali sakafuni
    amejikunja. Sikujua nini cha kufanya. Nilidhani alipatwa na ugonjwa
    wa moyo. Nilianza kuomba na alilia na
    akasema, "Omba kwa Bwana ili aliondoe hili nje ya akili yangu! Bwana
    amenipeleka Kuzimu. Najisikia kama
    mwili wangu umekufa, siwezi kulibeba hili." Kwa hiyo nikaendelea
    kuomba juu yake, na katika muda wa
    dakika kumi hadi ishirini alianza kutulia. Alikuwa katika hali ya
    mshangao, kama mtu ambaye alikwenda
    Vietnam na akatokea tena kwa mara ya pili, au mtu aliyeponea ajali ya gari ya
    kutisha. Haikuwa tu mtu ambaye alikuwa
    anaota ndoto mbaya na akaamka. Hivyo ndivyo nilitaka kushuhudia. (Bill Wiese anaongea) Nimebarikiwa kuwa na mwanamke
    mzuri. Kweli namshukuru Mungu.
    Nimekuwa katika ndoa kwa miaka
    minne, na nimemjua kwa miaka sita ya maisha
    yangu, ninaweza kusema, asifiwe
    Mungu. Nilitaka kujua zaidi niliporudi kutoka
    katika uzoefu huu, kama kuna yoyote
    katika Biblia ambaye amewahi kupata uzoefu huu. Kwa hiyo nikaanza kufanya
    utafiti. Huwa namsikiliza Chuck Missler
    sana. Yeye ni mwalimu wa Page 3 3 Biblia katika mataifa mengi, msomi halisi
    na yeye alisema kuwa Yona alipatwa na
    uzoefu wa Kuzimu. Katika Yona 2:2 inasema, "katika Kuzimu alipiga kelele." Na Katika Yona 2:6 inasema, " Nalishuka hata pande za chini za milima; Hiyo nchi na mapingo yake
    yalinifunga hata milele; Lakini
    umeipandisha nafsi yangu kutoka
    shimoni, Ee Bwana, Mungu wangu, Basi angalau kulikuwa na mtu katika Biblia mwenye
    uzoefu na kuzimu, Yona. Nilitaka kujua, kwa sababu nilikulia katika siku
    za mwanzo za kanisa la Calvary, uzoefu
    wowote wa kiroho ambao uliupata ni lazima uendane na Neno la Mungu.
    Hivyo nilijua kuwa kama uzoefu huo ni
    kweli, basi utakuwa tayari upo katika maandiko. Kwa hiyo nikaanza
    kufanya utafiti na nimeona zaidi ya
    maandiko 400 ambayo yanaonyesha kila kitu nilichokiona, nilichosikia, nilichohisi,
    na kila kitu kinachohusiana na Kuzimu.
    Tayari kimeandikwa, hivyo chochote nawaambia tayari kiko pale.
    Nitafanya kukuhakiki baadhi ya
    maandiko. Siwezi kunukuu yote 400,
    lakini nitafanya kwa baadhi. Pia walipatikana
    watu 14 wengine ambao tayari walikuwa
    na uzoefu wa baadhi ya sehemu ya Kuzimu. Wengi wao walikuwa karibu
    na kifo, watu katika hospitali waliokufa
    wakarudia tena uhai wao. Hivyo kwa haraka tu: Mimi na mke
    wangu tulikuwa katika mkutano wa
    Jumapili usiku wa maombi ambao sisi mara nyingi hudhuria na wachungaji
    wetu. Na baadae tukaenda nyumbani
    kama kawaida ili kulala. Ilipofika saa 09:00 asubuhi nilichukuliwa. Sikujua
    jinsi nilivyoondoka pale mpaka wakati
    niliporudi. Kisha Bwana alianza kunielezea. Hata hivyo nilitupwa tu katika chumba
    cha gereza, kama gereza lolote
    unaloweza kufikiria, lenye kuta mbaya
    na mihimili ya mlango. Sikujua bado
    ambapo nilikuwa. Nilichojua ni kwamba
    kulikuwa na joto sana, joto sana. Sikuamini, kwamba nilikuwa bado hai.
    Nilihisi kama ningekufa na kujitenga na
    moto huu, lakini bado nilikuwa hai. Kulikuwa na mwanga mdogo katika
    chumba kwa muda kidogo, na nikaamini
    kuwa uwepo wa Bwana ulikuwa pale kwa ajili yangu ili niweze kuona
    tukio zima kwa uzuri, lakini baada ya
    dakika moja giza liliingia tena Katika Isaya 24:22 inasema: " Nao watakusanywa pamoja kama vile
    wakusanywavyo wafungwa katika shimo
    nao watafungwa katika gereza…. Mithali 7:27 " Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, Hushuka mpaka
    vyumba vya mauti" Kwa chemba ina maana ya vyumba". Kwa hiyo sehemu ya
    kuzimu ina selo, vyumba, mashimo ya
    moto, na maeneo makubwa ya moto, hivyo nilikuwa katika selo ya
    kuzimu. Katika Yona 2:6, "Hiyo nchi na mapingo yake yalinifunga hata milele…; " Na Ayubu 17:16 "Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu,… " Kwa hiyo tena, kila kitu nilichokiona
    kilikuwa katika Neno. Mawe
    yanaongelewa katika Isaya 14:19. Nikajikuta katika selo, na viumbe hawa 4
    walikuwa katika selo na mimi. Sikujua
    walikuwa mapepo wakati huo, kwa sababu nilikwenda huko kama mtu
    ambaye hajaokoka. Mungu aliliondoa
    hili katika akili yangu kwamba mimi ni Mkristo niliyeokoka. Sikuelewa
    kwa nini, lakini alinifafanulia kwangu juu
    ya hili hapo nilipokuwa nikirudi. Viumbe hawa, sikuweza
    kutambua kwamba walikuwa mapepo,
    lakini walikuwa wakubwa. Walikuwa kama futi 12 au 13 kwa urefu, mmoja
    utamuona katika video. Mmoja wa watu ambao walitoa ushuhuda wao, aliona pepo sawa na yule niliyemuona.
    Hivyo utaona mmoja anavyofanana.
    Kuna picha nzuri kwa kweli katika video ambapo kijana mmoja alivutwa
    hadi katika misingi ya Kuzimu. Ni
    ushuhuda wa Kenneth Hagin.. Kivyovyote walikuwa wanatisha. Huyu
    mmoja alikuwa na magamba juu ya
    mwili wake wote, taya kubwa na meno makubwa, na makucha
    yamejitokeza, pamoja na macho
    yalioingia ndani. Yaani walikuwa
    wakubwa. Na huyu pepo mwingine hakuwa
    anaonekana kama huyu kabisa, lakini
    alikuwa na mapezi makali pote na
    mkono mmoja mrefu na miguu isiyo na uwiano.
    Kila kitu kilikuwa kimekaa vibaya na
    vilicheza pasipo uwiano, hakuna Page 4 4 ulinganifu, hakuna ulinganifu, mkono
    mmoja mrefu na mmoja mfupi yaani ni
    viumbe visivyo na muonekano mzuri, vinatisha, vya kuogofya. Basi, walikuwa wanamtukana Mungu.
    Muda wote walikuwa wanamlaani
    Mungu. Mimi nikajiuliza, "Kwa nini wanamlaani Mungu? Kwa nini
    wanamchukia Mungu hivyo?" Kisha
    wakanigeukia mimi, na mimi nikahisi
    vivyo hivyo wanavyojisikia kwa Mungu na
    mimi wananichukia na tena Nilifikiri: Kwa
    nini wanachukia?Na sijafanya lolote kwao" Lakini wananichukia mimi
    na chuki ambayo sijawahi kuiona katika
    dunia; kwa namna zaidi ya mwanadamu anaweza kunichukia.
    Kabisa walinichukia mimi, na mimi
    nilifahamu walikuwa wameletwa ili wanitese. Kulikuwa na mambo ambayo
    nitakwenda kusema, ambayo sijui ni
    jinsi gani niliyajua. Kule kuzimu fahamu
    zako ni halisi zaidi, unafahamu zaidi ya miili
    yetu. Niliweza kufahamu umbali,
    Nilifahamu muda, na kadhalika, nilifahamu mengi zaidi kuliko
    unapokuwa hapa. Nilijua mapepo hayo
    yaliwekwa pale kwa ajili yangu, ili
    yanitese milele mahali hapo. Nilikuwa nimelala juu ya sakafu katika
    selo hii na sikuwa na nguvu kabisa katika mwili wangu.
    Nikajiuliza, "Kwa nini siwezi hata kujisogeza, nina tatizo gani?"
    Nilikuwa nafahamu kuwa sina nguvu, na sikuwa na msaada
    wowote. Pepo moja likanibana na kunichukua na kunirusha kwenye
    ukuta kama kioo. Alinichukua kama uavyochukua kioo.
    Hivyo ndivyo jinsi nilivyokuwa mwepesi, au jinsi nguvu
    zake zilivyokuwa. Na Alinirusha katika ukuta, na kila mfupa
    katika mwili wangu ulivunjika. Na nilihisi maumivu! Nikawa
    nimejilaza sakafuni nikipiga kelele za kutaka msaada, lakini
    viumbe hawa hawana huruma yoyote wakati wote, hawana
    huruma kabisa. Mmoja alininyanyua, na mwingine
    mmoja, mwenye makucha makali mithili
    ya wembe, aliukata mwili wangu. Akaurarua kabisa, na hakuwa anajali
    kabisa kwa habari ya mwili huu wa ajabu
    ambao Mungu aliuumba. Alikuwa na chuki ambayo ilikuwa ni kali sana
    dhidi yangu. Nikajiuliza, "Kwa nini niko
    hai, kwa nini ningali hai katika hili? Sielewi kwa nini sijafa." Mwili wangu
    ukawa umetundikwa katika riboni/cheni.
    Na hapakuwa na damu, ila ni mwili tu umetundikwa, kwa sababu
    maisha yako katika damu, na hakuna
    maisha Kuzimu. Na hakuna maji katika Kuzimu. Katika Isaya 14:9-10 inasema Kuzimu chini kumetaharuki kwa ajili
    yako, Ili kukulaki utakapokuja;
    Huwaamsha waliokufa kwa ajili yako, Naam, walio wakuu wote wa
    dunia; Huwainua wafalme wote wa
    mataifa, Watoke katika viti vyao vya enzi. Hao wote watajibu na
    kukuambia, Je! Wewe nawe umekuwa
    dhaifu kama sisi! Wewe nawe umekuwa kama sisi! Zaburi 88:4 Nimehesabiwa pamoja nao washukao
    shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na
    msaada. Page 5 5 Na tunafahamu ya kuwa shetani anazo
    nguvu, katika maandiko ambapo
    palikuwa na mtu mwenye pepo akiishi katika eneo la makaburi, biblia inasema: Marko 5:1-4 Wakafika ng'ambo ya bahari mpaka nchi
    ya Wagerasi.Na alipokwisha kushuka
    chomboni, mara alikutana na mtu, ambaye ametoka
    makaburini, mwenye pepo mchafu;
    makao yake yalikuwa pale makaburini; wala hakuna mtu ye yote
    aliyeweza kumfunga tena, hata kwa
    minyororo; kwa sababu alikuwa amefungwa mara nyingi kwa
    pingu na minyororo, akaikata ile
    minyororo, na kuzivunja-vunja zile pingu; wala hakuna mtu aliyekuwa
    na nguvu za kumshinda. Hawakuweza kumfunga, alivunja
    minyororo vipande vipande. Na huyo
    alikuwa tu mtu mwenye nguvu ya
    mapepo. Nilielewa mapepo haya yalikuwa na
    nguvu mara 1000 zaidi ya mtu. Hivyo
    hata kama nilikuwa na nguvu yangu ya asili, sikuweza kupigana nao
    kuwashinda. Hivyo nilikuwa pale
    nikitegemea huruma yao, ambapo
    hawakuwa na huruma yoyote. Mapepo huongoza
    maisha yako kuzimu. Harufu ya mapepo haya na harufu ya
    Kuzimu ilikuwa mbaya inatisha, Siwezi
    hata kukuelezea wewe. Kulikuwa na harufu ya mwili unaoungua, na ya salfa.
    Harufu ya mapepo haya ilikuwa kama
    mfereji wa maji machafu ulio wazi, yaliyooza, nyama iliyooza, mayai
    yaliyoharibika, maziwa yaliyochacha na
    kila kitu ambacho unaweza kufikiria. Zidisha, mara 1000, na uiweke juu ya
    pua yako. Na uvute hewa ndani. Ilikuwa
    na sumu sana,ambayo inaweza kuua, kama ungekuwa hapa katika mwili
    huu, unaweza ukafa. Na mimi nilijiuliza,
    "Kwa nini naweza kuishi katika harufu hii, na ni mbaya sana ya
    kutisha?" Lakini tena huwezi hata kufa,
    unatakiwa kuivumilia. Makufuru, ambayo walikuwa
    wakimkufuru Mungu yameelezwa katika Ezekieli 22:26 " nami nimetiwa unajisi kati yao. " Kufuru, lugha ya matusi na kukashifu. Mateso waliyokuwa wakinifanyia
    yametajwa katika Kumbukumbu la
    Torati 32:22-24. Maana, moto umewashwa kwa hasira
    yangu, Unateketea hata chini ya kuzimu,
    Unakula dunia pamoja na mazao yake, Unaunguza misingi ya
    milima. Nitaweka madhara juu yao
    chunguchungu; Nitawapiga kwa mishale yangu hata
    ikaishe;Watakonda kwa njaa, wataliwa
    na makaa ya moto, Na uharibifu mkali; Nitawapelekea meno ya wanyama
    wakali, Pamoja na sumu ya wadudu
    watambaao mavumbini. Hivyo kuna meno ya mnyama juu yako. 2 Samueli 22:6 inasema: Kamba za kuzimu zilinizunguka; Mitego
    ya mauti ikanikabili. Na katika Mika 3:2 kuna mstari wa mzuri ambapo wafilisti, waliowachukia
    waisraeli walisema: Ninyi mnaoyachukia mema, na
    kuyapenda mabaya; ninyi mnaowachuna
    watu ngozi yao, na nyama mifupani mwao. Page 6 6 Hivyo ndivyo walivyowafanyia watu wa
    Israeli. Hiyo ilikuwa katika uhalisia, je ni
    wapi walipata wazo hilo? Hilo wazo la kufanya hivyo lilitoka kuzimu.
    Hivyo ndivyo mapepo hufanya, na
    rehema je? Kuna rehema Mbinguni tu. Rehema inatoka kwa Mungu, na shetani
    hana maarifa yeyote kuhusu wema
    wowote ule, yuko kinyume kabisa kuhusu hilo. Zaburi 36:5 " Ee Bwana, fadhili zako zafika hata
    mbinguni, Uaminifu wako hata
    mawinguni.." Na Zaburi 74:20 inasema: Ulitafakari agano; Maana mahali penye
    giza katika nchi Pamejaa makao ya
    ukatili. Ni mahali pa kutisha penye ukatili,
    huzuni ambao unatakiwa uvumilie.
    Unatakiwa kuvumilia mambo haya yote. Mungu amemfanya mwanadamu kwa
    kiwango cha juu cha uumbaji, na
    mapepo haya ni uumbaji wa kiwango
    cha chini. Sisi kama binadamu tunafanya
    kazi kwa bidii ili kuendelea mbele na
    maisha, tunajifanyia ubora sisi wenyewe, tunajifunza. Lakini kule
    kuzimu, maisha yako yanaongozwa na
    mapepo. Viumbe hawa wana IQ sifuri, viumbe hawa ni wajinga kabisa. Kile
    wanacho kijua ni chuki kwa Mungu,
    chuki kwako wewe na mateso. Na wanaongoza maisha yako, na huwezi
    kufanya lolote kuhusu hilo. Kuna maandiko kuhusu udhalilishaji
    unaotakiwa kukabiliana nao. "Jambo hili
    linakwenda kuongoza maisha yangu, siwezi kuliacha!" Katika Isaya 5:
    14-15 Kwa hiyo kuzimu kumeongeza tamaa
    yake, kumefunua kinywa chake bila
    kiasi; na utukufu wao, na wingi wao, na ghasia yao, naye pia
    afurahiye miongoni mwao, hushuka na
    kuingia humo. Na mtu mnyonge ainamishwa, na mtu mkubwa
    amedhilika, na macho yao walioinuka
    hunyenyekezwa, Isaya 57:9-16 Ulimwendea mfalme na mafuta ya
    marhamu, ukaongeza manukato yako,
    ukawatuma wajumbe wako waende mbali, ukajidhili sana hata
    kuzimu. Ulikuwa umechoka kwa ajili ya
    urefu wa njia yako; lakini hukusema, Hapana matumaini; ulipata
    kuhuishwa nguvu zako; kwa sababu hiyo
    hukuugua. Tena ni nani uliyemwogopa na kumhofu, hata
    ukasema uongo, wala hukunikumbuka
    mimi, wala kuweka hayo moyoni? Je! Mimi sikunyamaza tangu
    zamani, hata huniogopi?Mimi
    nitatangaza haki yako, na matendo yako hayatakufaa. Utakapolia,
    na wakuponye hao uliowakusanya; lakini
    upepo utawachukua; uvuvio tu utawachukulia
    mbali; lakini yeye anayenitumaini
    ataimiliki nchi, na kuurithi mlima wangu mtakatifu. Naye atasema,
    Tutieni, tutieni, Itengenezeni njia,
    Kiondoeni kila kikwazacho Katika njia ya watu wangu. Maana yeye
    aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele;
    ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi
    mahali palipoinuka, palipo patakatifu;
    tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili
    kuzifufua roho za wanyenyekevu, na
    kuifufua mioyo yao waliotubu. Kwa kuwa sitashindana na
    watu siku zote, wala sitakuwa na hasira
    siku zote; maana roho ingezimia mbele zangu, na hizo nafsi
    nilizozifanya. Ezekieli 32:24 Elamu yuko huko, na watu wake wote
    jamii, pande zote za kaburi lake; wote
    pia wameuawa, wameanguka kwa upanga, walioshuka
    hali hawana tohara hata pande za chini
    ya nchi; ambao Page 7 7 waliwatia watu hofu katika nchi ya walio
    hai, nao wamechukua aibu yao, pamoja
    nao washukao shimoni. Inaendelea na kuendelea. Hiyo ilikuwa
    ni kitu kibaya kuona maisha yako
    yanaongozwa na viumbe hawa, ambao hawana hata huruma kwa lolote lile! (Giza na vilio kuzimu) Nilikuwa nimelala katika selo na mara
    pakawa giza, kiini, kiini cha weusi wa
    giza. Namaanisha giza ambalo sijawahi kuliona kabla. Na nilikuwa chini
    kabisa katika mapango, ni chini sana
    kama katika migodi ya chuma kule Arizona. Kulikuwa na giza ambalo
    huwezi hata kufikiria. Niliweza kutambaa
    kuelekea nje, kwa namna fulani niliweza kutambaa na waliniacha
    kidogo. Nilikumbuka ambapo mlango
    ulikuwa hivyo nikatambaa kuelekea kwenye mlango na nikatoka nje ya selo.
    Nikaangalia mwelekeo mmoja, na
    tazama ni peusi pote, na nilichosikia ilikuwa ni mayowe, mabilioni ya watu
    walipiga mayowe mahali hapo. Nilijua
    kulikuwa na mabilioni, na kulikuwa na sauti kubwa. Kama umewahi kusikia
    mtu akipiga kelele, huwa inachukiza.
    Naam kama wewe ukisikia mabilioni ya watu wakipiga mayowe,
    huwezi kufikiria ni jinsi gani inaathiri akili
    yako. Hauwezi kuvumilia. Unajaribu kushikilia masikio yako kwa
    sababu sauti ni kubwa lakini inapenya.
    Huwezi ukakimbia mayowe haya. Na hofu inayokujia inakuwa ya ajabu.
    Kila kitu kinaongozwa na hofu. Hakuna
    uwepo wa Mungu katika sehemu hii, hivyo inakupasa kuishinda hofu na
    mateso na giza wewe mwenyewe.
    Huwezi kuona chochote. Huwezi hata kuona ni kitu gani kinakuja dhidi yako.
    Maandiko yanasema sana kuhusu giza
    hili Zaburi 88: 6 Mimi umenilaza katika shimo la chini,
    Katika mahali penye giza vilindini. Ufunuo16:10 Na huyo wa tano akakimimina kitasa
    chake juu ya kiti cha enzi cha yule
    mnyama; ufalme wake ukatiwa giza; wakatafuna ndimi zao kwa
    sababu ya maumivu, Yuda 1:13 Ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika,
    yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni
    nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao
    waliowekewa milele. Na kulikuwa na giza ambalo unaweza
    ukalihisi, kama ilivyoonyeshwa Kutoka 10:21 Bwana akamwambia Musa, Nyosha
    mkono wako kuelekea mbinguni, kuwe
    giza juu ya nchi ya Misri, watu wapapase-papase gizani. Unaweza ukalihisi giza hili. (Hofu kuzimu) Hofu niliyopata niseme tu, ilikuwa kubwa
    sana. Inakukamata. Kama umewahi
    kuona muvi(tamthilia) za kutisha,ambapo hofu inakukamata
    mpaka kwenye koo, sasa unaweza
    ukachukulia hiyo na ukazidisha mara
    1000 hivi, na ukawa nayo hiyo wakati wote, na
    ninafahamu kitu kuhusu hofu.
    Nilipokuwa mdogo nilikuwa nikiogelea. Nilipokuwa mdogo sana tulikuwa katika
    ufukwe wa Coco Frolida tukiogelea na
    kulikuwa na kundi la papa walikuwa wakinizunguka. Na papa wa
    karibu futi 9 alikuja na kuupiga ubao
    wangu wa kuogelea kwa katikakati. Page 8 8 Alinichuchuka kwa mguu wangu na
    kunivuta chini. Hivyo mguu wangu
    ulikuwa kwenye mdomo wa huyu papa mkubwa. Nilikuwa bado sijawa mkristo,
    nilikuwa hata sijaokolewa. Na mara
    gafla aliniacha ili niondoke. Nafahamu Mungu alifungua kinywa cha
    Yule papa. Lakini kwa muda mfupi huo
    hofu inayokuijia ni kubwa sana ya kushangaza. Kama yeyote amewahi
    kuona mataya ya papa, hofu ile ni kubwa
    sana huwezi kufananisha mpaka ikutokee. Hofu ilikuwa ni ya kutisha.
    Aliyekuwa pembeni yangu alikuwa futi
    chache mbali kidogo, papa huyu alimtafuna mguu wake! na wakamvuta
    pembeni ya ufukwe, na damu kila
    mahali. Alikuwa akilia na mguu ukiwa umeliwa tayari. Kwa hiyo naifahamu
    hofu lakini ile hofu haikuwa kitu
    ukilinganisha na hofu niliyopitia Kuzimu, Hakuna jinsi ya kufananisha. Nafikiri
    hofu niliyoipata juu ya papa ni moja ya
    hofu kubwa ambayo tunaweza kupitia hapa duniani. Kwa hiyo haya ni mambo machache
    tunayotakiwa kuyashinda kule
    kuzimu.Isaya 24:17-18 inasema: Hofu, na shimo, na mtego, vi juu yako,
    Ee mwenye kukaa duniani. Itakuwa kila
    akimbiaye sauti ya hofu ataanguka katika shimo; na kila
    apandaye na kutoka shimoni atanaswa
    na mtego; kwa maana madirisha yaliyo juu yamewekwa wazi,
    na misingi ya dunia inatikisika. Ted Koppel, alipokuwa akifundisha
    alifundisha akiwa na mada ya "Night
    Line" mwaka mmoja na nusu uliopita, aliwatembelea wafungwa baadhi nchini
    na akakaa nao usiku mzima mahali pale.
    hakuweza kuamini jinsi kulivyokuwa na kelele, hakuweza kulala,
    kila mmoja alipiga kelele za juu sana
    kwa nguvu zake zote. Alisema alishagazwa jinsi watu walivyopiga
    kelele na kuunguruma usiku kucha.
    Hivyo hata katika magereza yetu ya duniani, watu hupiga kelele, je ni kiasi
    gani kule kuzimu. Katika Ayubu 18:14 inazungumzia maovu ya mwanadamu, kwa mtu atakayemkataa
    Bwana... Atang'olewa katika hema yake
    aliyokuwa akiitumaini; Naye atapelekwa
    kwake mfalme wa utisho. Shetani hakika ni mfalme wa Hofu. (Kuachwa Kuzimu) Sasa nilikuwa nje ya selo na niliangalia
    upande huu Niliona miali ya moto, kama
    maili 10 hivi kutokea nilipokuwa. Nilifahamu kuwa ilikuwa maili 10. Na
    shimo la moto kama maili 3 kwa upana,
    lilikuwa na moto uliokuwa ukiwaka mpaka angani ulioweza
    kunifanya kuona ardhi ya kuzimu kidogo. Giza lilikuwa ni nene; liliweza kula
    mwanga wote. Lakini angalau kulikuwa
    na mwanga wa kuweza kuona anga. Palikuwa ni kahawia na ukiwa.
    Namaaanisha hakuna hata kijani
    kimojawapo, hakuna hata maisha ya
    aina yeyote, ni jiwe/mwamba, kuchafu na anga
    nyeusi na moshi katika anga. Miali
    ilikuwa ni mirefu hivyo niliweza kuiona. Kuna andiko katika Mambo ya nyakati 29:23 Ya kuwa nchi yake nzima ni kibiriti, na
    chumvi, na kuteketea, haipandwi, wala
    haizai, wala nyasi hazimei humo, kama mapinduko ya
    Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu,
    aliyoipindua Bwana kwa ghadhabu yake na hasira zake; Hakuna maisha hata hivyo kuzimu.
    Inatisha kama nini kuwepo kwenye
    ulimwengu ambao hauna maisha. Hapa tunafurahia miti na hewa safi, lakini
    mahali pale kila kitu kimekufa. Page 9 9 (Moto) Moto ulikuwa ni mkubwa sana, huwezi
    hata kuelezea. Mambo ya nyakati 32:24 inasema; Watakonda kwa njaa, wataliwa na
    makaa ya moto, Na uharibifu mkali;
    Nitawapelekea meno ya wanyama wakali, Pamoja na sumu ya
    wadudu watambaao mavumbini. Yuda1:7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji
    iliyokuwa kando-kando, waliofuata
    uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya
    mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa
    dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele. Zaburi 11:6 Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na
    kiberiti na upepo wa hari, Na viwe fungu
    la kikombe chao. Hicho ndicho kilichokuwa kikiendelea
    Kuzimu, pana joto kali. Hivi vitu vyote
    vilitosha kabisa kukuua, lakini hufi! Unatakiwa kuendelea kuvumilia haya
    mateso. Nilihitaji amani ya moyo,
    kuondokana na vilio hivi na kutoka mahali pale. Ni kama ambavyo unataka
    kwenda nyumbani usiku baada ya siku
    ngumu, unahitaji amani ya moyo. Lakini pale unavumilia mateso yote na
    vilio. na hauwezi kamwe kutoka mahali
    pale. Isaya 57:21 inasema: " Hapana amani kwa wabaya; asema
    Mungu wangu." Pia kuzimu unakuwa uchi. Ni kitu kingine
    ambacho inakupasa uvumilie. Aibu! Ezekiel 32:24 inaongelea kuhusu aibu ndani ya kuzimu. Elamu yuko huko, na watu wake wote
    jamii, pande zote za kaburi lake; wote
    pia wameuawa, wameanguka kwa upanga, walioshuka hali hawana tohara
    hata pande za chini ya nchi; ambao
    waliwatia watu hofu katika nchi ya walio hai, nao wamechukua aibu yao,
    pamoja nao washukao shimoni. Na katika Ayubu 26:6 Kaburi li wazi mbele yake, Uharibifu nao hauna
    kifuniko. Hii inamaanisha Mungu anaweza kuona
    Kuzimu, Hivyo inaonekana kwake. (Ukame) Hakuna maji kuzimu, kabisa, hakuna.
    Hakuna unyevunyevu katika anga na
    maji ya aina yeyote. Kuna ukame sana Unakuwa unahitaji maji ya kunywa hata
    tone la maji tu, moja tu. Kama vile
    ambavyo maadiko yanasema katika Luka 16:23-24, Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake,
    alipokuwa katika mateso, akamwona
    Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake. Akalia, akasema,
    Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume
    Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe
    ulimi wangu; kwa sababu ninateswa
    katika moto huu. Page 10 10 Ibrahimu akasema, "Mwanangu
    kumbuka", na kisha aliendelea
    kuzungumzia ndugu zake. Alimtaka tu
    achovye ncha ya kidole chake katika maji, apate
    tone moja tu. Hiyo ingekuwa ni kitu cha
    thamani, tone moja, lakini haiwezekani, kupata hata tone. Ni
    vigumu kupata picha ni jinsi gani mdomo
    wako unakuwa mkavu. Kama unaweza kufikiria kufanya mbio za
    marathoni za kufa na kupona na ukawa
    na pamba katika mdomo wako na unaendelea kuwa huko kwenye bonde la
    uvuli wa mauti kwa muda wote, iendelee
    hivyo, kukame, kabisa, unahitaji tone la maji. Kitu kingine andiko hili limebainisha
    kwangu tunajua kuna shimo kubwa sana
    limewatenganisha kati yao, kuzimu; kati ya peponi na Kuzimu. Na mtu huyu
    aliyekuwa tajiri akamwona Abrahamu
    kwa mbali. Kwa asili, anawezaje kumtambua Lazaro na Ibrahim? Awali ya
    yote kamwe hakuwahi kukutana na
    Ibrahimu na kisha kuona mtu kwa mbali namna ile, usingeweza kujua ni
    nani hao. Lakini kuna mambo fulani tu
    unajikuta unayajua kuzimu. Unaelewa, kama nilivyosema, kuhusu
    kina, umbali wake na kadhalika. Kisha pepo mojawapo likanikamata, na
    kunirudisha tena selo na nikarudia yale
    mateso tena, ambayo sipendi kuyaongelea, kwa sababu sipendi
    kuendelea kukumbushia mateso yale.
    Walianza kuniponda fuvu langu. Pepo moja likanikamata nakujaribu kupasua
    kichwa changu. Nalikuwa nalia mayowe
    na kuomba rehema, lakini hakuna rehema! Kwa wakati huu sasa kila pepo
    lilishika mkono na mguu wangu na
    walikuwa karibu kuniachanisha. Nilifikiri kichwani "siwezi kuvumilia hili,
    siwezi kuvumilia hili!" (Jirani na shimo) Na mara gafla, kitu kikanishika na
    kunivuta nje ya selo. Najua alikuwa ni
    Bwana, lakini wakati huo sikuwa nimejua. Nilikuwa mahali pale kama mtu
    asieokoka, kwa hiyo sikujua vitu hivi.
    Nilikwenda pale kama sikuwahi kumpokea Bwana. Niliwekwa jirani
    kidogo na moto niliouona. Nilikuwa
    nimesimama peke yangu pembeni mwa shimo lile. Nilikuwa chini ya pango, kama
    pango kubwa, lenye tanuru iliyokwenda
    juu. Ndani ya moto ule niliweza kuona ndani miili na watu ndani
    ya moto wakilia mayowe, walilia rehema,
    huku wakiungua! Na nilifahamu sikutaka kwenda mahali pale.
    Maumivu niliyoyapata tayari yalikuwa ni
    makubwa lakini moto uliokuwa ukitokea mle kwenye miali ile ya moto
    nilitambua ilikuwa ni hari zaidi sana.
    Watu hawa waliomba kutoka nje. Kulikuwa na viumbe hawa wakubwa
    wamejipanga wamezunguka pembezoni
    mwa shimo hilo, na watu walipokuwa wakijaribu kutoka nje,
    walirudishwa tena kwenye moto
    wasiweze tena kutoka. Nikafikiri, "Oh, hii sehemu ni mbaya, mbaya sana na
    inatisha sana." Haya yote yanafanyika kwa wakati
    mmoja. Una kiu, una njaa, umechoka.
    Pia kuzimu hupati muda wa kulala. Unahitaji usingizi kama unavyohitaji
    sasa. Mwili wako unakuwa unahitaji
    kulala. Ufunuo 14:11 inasema, Na moshi wa maumivu yao hupanda juu
    hata milele na milele, wala hawana raha
    mchana wala usiku,… Hata huwezi kulala. Unaweza kufikiri ni
    jinsi gani kulivyo, yaani hakuna kulala. Kuhusu maji, Zakaria 9:11, ... Nimewatoa wafungwa wako katika
    shimo lile lisislo na maji. Page 11 11 Hakuna maji kabisa kuzimu. Nilitambua kuwa mahali ilipo kuzimu ni
    katikati ndani ya duni. Hapo ndipo
    mahali ilipo, ndani katikati ya dunia. Nilitambua hivyo nilipokuwa kama maili
    3700 ndani chini ya dunia.Tunafahamu
    kwamba kipenyo cha dunia ni maili 8000. Na nusu ya kipenyo hicho ni
    kama Maili 4000. Nilikuwa kama maili
    3700. Katika waefeso 4:9 inasema kwamba Yesu alishuka mpaka
    chini pande za dunia/nchi. Hesabu 16:32 inasema, Na nchi ikafunua kinywa chake na
    kuwameza,na watu wa nyumba zaona
    wote walioshikamana na Kora, na vyombo vyao vyote. Hapo ndipo Kuzimu ilipo sasa. Baadae
    Kuzimu na mauti vitatupwa katika moto
    wa Jehanamu na kutupwa katika giza kuu. Hiyo ni baada ya hukumu,
    Lakini kwa sasa iko duniani. (Pepo) Nilikuwa pembezoni mwa shimo la
    kuzimu na nikaona mapepo yote haya
    yamejipanga katika kuta, yana ukubwa tofauti tofauti na maumbo ya kila
    namna, mabaya, viumbe vibaya kiasi
    unachoweza kufikiri. Walikuwa wamejikunja, wameharibika, wakubwa
    na wadogo. Kulikuwa na ng"e wakubwa,
    wakubwa hivi. (uefu futi5) Panya, nyoka na minyoo, kwa sababu biblia
    inaongelea kuhusu minyoo yenye
    inayoambaa (Isaya 14:11). Kuna kila aina ya viumbe wabaya kila eneo na
    inaonekana kana kwamba imefungwa
    kwa minyororo kwenye
    kuta.Nikashangaa "Kwa nini vitu hivi vimefungwa kwenye
    kuta". Sikuelewa, lakini kulikuwa na
    andiko katika Yuda 1:6 linasema, "Na malaika wasioilinda enzi yao
    wenyewe, lakini wakayaacha makao yao
    yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza
    kwa hukumu ya siku ile kuu;" Na hivyo ninahisi hiki ndicho nilikiona,
    sijui, lakini hicho ndicho kilichonitokea.
    Nilifurahi kwa sababu sikutaka wanisogelee. Walionyesha kunichukia
    sana! Hiko kilikuwa kitu kingine
    ambacho sikukielewa, hawakuwa tu ni viumbe, walikuwa na chuki kubwa kwa
    wanadamu. Hivyo nilifurahia kuona
    wamefungwa kwenye kuta. Nilianza kupaa shimo hili kwenye tanuru
    hili, na kuachana na miali. Mara kukawa
    na giza, lakini niliweza kuona mapepo yote haya pembeni ya tanuru
    na walikuwa na nguvu kubwa sana.
    Nikafikiri,"Nani anayeweza kupigana nao viumbe hawa. Hakuna anayeweza
    kupigana nao viumbe hawa." Lakini
    bado,Hofu ile ilikuwa ni kubwa sana, sikuweza kabisa kusimama juu ya hofu
    hii. (Hakuna Matumaini) Kitu kibaya Kuzimu, kitu kibaya, kitu
    kibaya kuliko mateso yote, niliweza
    kutambua, kwamba kuna maisha yanaendelea hapa duniani. Na ya kuwa
    watu hapa juu, watu wengi, hawana
    hata habari kuwa ulimwengu huu uko hapa chini na ni halisi! Hawajui kabisa
    kuwa ni ulimwengu mwingine na halisi
    huko hapa chini na kuna mabilioni ya watu wanaumia na kuomba nafasi
    nyingine ya pili, kama wangekuwa na
    nafasi ya kutoka tu mahali pale. Lakini hawawezi kupata nafasi nyingine tena,
    na wanakuwa vichaa kabisa kuona kuwa
    hawawezi kuwa na fursa ya kuwa na Yesu, kwamba wameishia mahali
    pale maisha yao yote. Hiki ndicho kitu
    kibaya kuliko vyote, kwamba hakukuwa na matumaini ya kutoka nje.
    Nilifahamu hivyo. Nilitambua umilele.
    Niliweza kuelewa umilele. Hapa duniani, hatuwezi kuwazia, Hatuwezi
    kuujua. lakini pale niliuelewa. Nilijua
    nitakuwa huko milele na milele, wala sikuwa na matumaini ya kutoka nje.
    Niliwaza kuhusu mke wangu. Sikuweza
    kwenda kwa mke wangu! Nimekuwa nikimwambia kama tukitenganishwa na
    kitu chochote kwa namna yeyote labda
    tetemeko au kitu cha kutisha, Page 12 12 nilisema "Nitarudi. Nitakutafuta.
    Nitakurudia kama tumeachanishwa."
    Lakini hapa sikuweza kumrudia.
    Sikuweza kumuona tena. Hakuwa hata na wazo
    lolote ni wapi nilikuwa na sikuweza
    kamwe kuongea naye tena milele. Hilo wazo tu lilinisumbua sana! Kutokuwa na
    uwezo wa kuongea naye, kuwa naye, na
    kwa yeye kutojua ambapo mimi nipo, na sikuwa na matumaini kwa milele
    kutoka nje! Unakuwa unaelewa, kuwa
    huwezi kutoka hapo, milele! Angalia duniani kuna matumaini siku
    zote. Hata watu katika kambi za mateso
    huwa na matumaini ya kutoka nje, au kufa angalau, ili waondokane na
    taabu. Lakini hatujawahi kabisa kukosa
    matumaini kama ilivyo kuzimu. Katika Isaya 38:18 inasema, "Wale washukao shimoni hawawezi
    kuitarajia kweli yako." Hakuna matumaini, na kweli ni Yesu (Yesu akatokea) Wakati huu, nilikwenda juu ya tanuru
    hili, na nikiwa na hofu kubwa, sina
    matumaini nimepotea, na nikiwa naogopa mapepo haya. Kwa ghafla, kwa
    ghafla tu, Yesu akajitokeza! "Usifiwe
    wewe Bwana", Yesu alijitokeza. Mwanga huu mkali ulimulika mahali
    pale. Mimi niliona tu umbo lake, umbo la
    mwanadamu. Sikuweza kuona uso wake, mwanga ulikuwa mkali sana.
    Niliangalia katika mwanga huu na kuona
    umbo lake tu. Na mimi nikapiga magoti yangu nikaanguka. Sikuweza
    kufanya jambo lolote tofauti na
    kuabudu. Nilijisikia furaha. Sekunde
    moja iliyopita nilikuwa nimepotea milele, na
    sasa ghafla natoka nje ya eneo hili, kwa
    sababu nilikuwa tayari nimemjua Yesu. Watu wale hawawezi kutoka nje,
    lakini mimi naweza kwa sababu nilikuwa
    tayari nimeokolewa. Nilijua na kuelewa kwamba kulikuwa hakuna njia a
    kutoka nje ya eneo hili, ni kwa Yesu
    pekee. Yeye ni njia pekee ya kukufanya usiende mahali hapa. Ufunuo 1:6 inasema Yohana, alipokwenda mbinguni, alimuona Yesu,
    na sura yake ilikuwa kama jua liking'aa
    kwa nguvu zake. Naye alipomuona kwake,
    akaanguka mbele ya miguu yake kama
    mtu aliyekufa. Hivyo ndivyo nami nilifanya. Nilianguka mbele ya miguu
    yake kama mtu aliyekufa. Sasa unaweza
    kufikiria nilikuwa na maswali milioni ya kumuuliza, lakini wakati uko
    pale, kile unachoweza kufanya ni
    kumwabudu na kumtukuza jina lake Takatifu, na kumshukuru kwa kile
    alichotuokoa. Nilipotulia sasa, angalau kiasi ambacho
    naweza kuanza kutengeneza mawazo,
    Niliwaza kumwaambia Bwana, Hata sikumbuki kama nilimuuliza kwa sauti
    kubwa, niliwaza tu na akanijibu. Mimi
    nikasema, "Bwana kwa nini umenileta mahali hapa? Kwa nini
    umenileta mahali hapa?" Akaniambia "Kwa sababu watu hawaamini
    kwamba eneo hili ni halisi." Alisema "Hata baadhi ya watu wangu mwenyewe
    hawaamini eneo hili ni halisi." Nilishitushwa kwa usemi huo. Nilidhani
    kila Mkristo anaamini Kuzimu. Lakini si
    kila mtu anaamini katika uhalisi wa moto wa Kuzimu. Nilisema Bwana
    "kwa nini umenichukua mimi?" Lakini
    hakujibu swali hilo. Mimi sijui ni kwa nini yeye alinichukua
    mimi kwenda huko. Uwezekano wa mimi
    kwenda mahali hapo ulikuwa ni mdogo. Mke wangu na mimi huwa
    tunachukia sinema za maovu.
    Tunachukia lolote baya. Sipendelei hata
    maisha ya majira ya kiangazi, sana napendelea
    kiasi kidogo cha joto. Ni machafu.
    Hakuna mpangilio. Ni kero muda wote na machafuko na machukizo. Na mimi
    upendelea kila kitu chenye utaratibu na
    ubora. Hakunijibu swali hilo. Akaniambia, "Nenda ukawaambie kwamba ninachukia mahali hapa,
    kwamba si mapenzi yangu kwa
    yeyote mmoja wa viumbe wangu kwenda
    mahali hapa, hata mmoja! Sikuumba
    hili kwa ajili ya mtu. Hii ilifanyika kwa ajili ya shetani na malaika zake.
    Unatakiwa kwenda na kuwaambia!
    Nimekupa kinywa, wewe nenda na uwaambie. " Nikajifikiria, "Bwana, hawatakwenda
    kuniamini. Watanifikiria mimi ni kichaa
    au nilikuwa na ndoto mbaya." Namaanisha je wewe usinge fikiria hivi?
    Kama Nilipofikiria hivi, Bwana akanijibu
    akasema, "Siyo kazi yako Page 13 13 kuwashawishi. Ni kazi ya Roho
    Mtakatifu! Wewe nenda na
    uwaambie!" Na niliitika ndani, "Ndiyo Bwana!" Ni sahihi kabisa, nitakwenda na
    kuwaambia." Hutakiwi kuwa na wasiwasi
    na hofu juu ya mtu anafikiria nini juu yako, wewe unachotakiwa tu ni kwenda
    na kufanya hivyo na kumuachia Mungu
    afanye yaliyobakia. Amina? Nami nikasema," Bwana, kwa nini
    wananichukia sana? "" Kwa nini viumbe
    hawa wananichukia? "Akasema," Kwa sababu umefanywa kwa mfano
    wangu na wananichukia mimi.
    "Unajua shetani hawezi kufanya kitu chochote dhidi ya Mungu. Hawezi kumdhuru
    Mungu, kwa kusema, lakini anaweza
    kuumiza viumbe vyake. Ndiyo maana shetani anachukia watu, na
    anawadanganya na kuwapeleka kuzimu.
    Naye anaweka magonjwa juu yao, kitu chochote anaweza kufanya ili mradi
    auumize viumbe wa Mungu. (Amani ya Mungu) Na kisha Mungu akanijaza Mawazo
    yake. Aliniruhusu niguse kiasi cha moyo
    wake, ni kiasi gani anampenda mwanadamu. Ajabu, sikuweza hata
    kulichukulia hili. Ilikuwa ni zaidi hakuna
    mfano wake. Upendo alionao kwa mtu, huwezi ukauchukulia katika mwili
    huu. Unajua ni kiasi gani tunawapenda
    wake zetu na watoto wetu? Naam upendo tulionao hatuwezi hata
    kuulinganisha na upendo wa Mungu
    kwetu sisi. Upendo wake ni mkubwa
    zaidi kuliko upendo wetu na uwezo wetu wa
    kupenda. Ni sawa tu kama inavyosemwa
    katika Waefeso 3:19, "... ili kujua upendo wa Kristo ambao hupita maarifa
    ..." Inakwenda mbali kupita maarifa, huwezi hata ukapata ufahamu wake. Sikuamini kuona ni kiasi gani alimpenda
    mwanadamu, kwamba anakufa kwa ajili
    ya mtu mmoja tu ili asiende mahali hapo. Na anakuwa na uchungu
    mwingi kuona mmoja wa viumbe vyake
    anakwenda mahali hapo. Inamuumiza Bwana, Analia kuona mtu
    mmoja anakwenda. Na nilijihisi vibaya
    kwa Bwana. Nilihisi moyo wake, basi akaniacha
    niguse kidogo moyo wake. Alijisikia
    huzuni kwa viumbe wake kwenda mahali pale. Nikawaza "Imenipasa kutoka nje
    na kushuhudia na kuchukua kila pumzi
    ya mwisho kuwaambia dunia habari za Yesu, Jinsi alivyo mzuri." Naama ka
    kuwa, tuna injili. Ni habari njema. Ni
    habari njema, na dunia haijui. Imewapasa kuambiwa! Unajua, inabidi
    tushiriki maarifa haya. Watu wanakosa
    elimu katika eneo hili. Mungu anataka sisi tushiriki pamoja nao jinsi
    yeye alivyo mzuri, na jinsi Yeye
    anachukia mahali hapo. Akaniambia pia, "Waambie ninakuja hivi karibuni, karibu sana." Akasema tena, "Waambie ninakuja hivi karibuni, karibuni sana." Sasa nafkiri, kwa nini sikumwambia, "Ni nini
    umaaanisha Bwana?'hivi karibuni' ikoje kwako?" Hivyo ndivyo jinsi tunafikiri.
    Lakini sikuweza kuuliza vitu hivyo wakati
    huo. Unataka tu uendelee kumwabudu sana. Amani ya Mungu
    inayokuja juu yako kuwa karibu naye
    haielezeki. Nimekuwa katika huduma za upako, lakini hakuna cha
    kulinganisha na upendo na amani ya
    Mungu unayojisikia kuwa karibu naye. Na kisha nikatazama juu na nikaona
    mapepo hayo juu ya ukuta, walionekana
    wakiwa na uso wa ukali, walikuwa wanaonekana kama mchwa kwenye
    ukuta! Walionekana kama mchwa! Bado
    walikuwa ni wakubwa, lakini kwa uwezo wa Mungu uliokaribu nawe,
    nguvu zote za uumbaji wa Mungu,
    walikuwa wanaonekana kama mchwa kwenye ukuta. Sikuweza kwenda juu
    yake. Nikafikiri, "Bwana ni kama mchwa
    tu hawa!" Naye akasema, "Wewe unachotakiwa tu ni kuwafunga na
    kuwatoa nje kwa jina langu." Nikafikiri "Kijana, nguvu alizotoa kwa
    kanisa." Hivi vitu ambayo vilikuwa na ukali,
    tusingeweza kushindana navyo bila
    Yesu, hakuna. Wanahasira, lakini unapokuwa pamoja naye, ni bure tu !
    Ujasiri ukaja ndani yangu, nilipoona
    viumbe hawa nilihisi kama niseme, "Nyie viumbe mliokuwa mnanitesa,
    mkataka kunigawana? Haya njooni!
    Haya njooni sasa!" Labda inawezekana nafsi yangu ilijiinua au kitu kingine,
    unajua, Niliwaza, "Yesu wafate." (Kuondoka Kuzimu) Tulipoondoka, tukapanda juu ya uso wa
    dunia. Tulikwenda juu, kwa sababu
    tulikuwa bado katika shimo. Punde sikuweza kuiona tena, lakini ilikuwa ni
    kama upepo wa kisulisuli, kimbunga
    kikubwa nasi tuko ndani yake. Ilibidi Page 14 14 kuendelea kwenda juu, ili tutoke nje
    yake ilivyoonekana. Tulipofika juu yake,
    nikaangalia chini duniani na tulikuwa juu namna hii. Mviringo wa
    dunia ulionekana kama hapo. Nifuraha
    kuangalia tena katika nchi! Najua Mungu aliruhusu hilo kwa ajili yangu.
    Tungeweza kuondoka kwenye handaki
    kwa namna yoyote ambayo Angetaka. Alijua ndani ya moyo wangu,
    kwamba nilipokuwa mtoto siku zote
    nilitamani kuona dunia inaonekana vipi kutokea angani. Labda ni
    kwasababu niliangalia sana, Safari ya
    nyota au kitu, unajua? Nilijiwadhia
    itakuwa vizuri kweli kuona dunia, na kuona
    ikielea angani bila kushikiliwa na
    chochote. Kama Biblia inavyosema.
    Inasema katika Ayubu 26: 7, Yeye hutandaza kaskazi juu ya nafasi
    isiyo na kitu, Yeye lipo duniani juu ya
    chochote. Kama ukiangalia, unafikiri, "Ni nini
    kinashikilia hii dunia juu? Nini kinafanya
    izunguke kwa ukamilifu?" Mungu anadhibiti hilo. Uwezo wa Mungu
    ulionifunika, ulikuwa ni wa kutisha. Ana
    uwezo sana. Kila kitu kimoja kimoja viko chini ya udhibiti wake. Si tu nywele
    juu ya kichwa chako zishukazo mpaka
    chini kwamba hawezi kuzijua kwa idadi. Sio tu ndege aliyeanguka sakafuni
    kwamba hawezi kujua. Nilikuwa
    nimejazwa na mawazo haya. Mungu ana nguvu sana. Ilinishangaza sana. Kuna
    maandiko katika Isaya 40:22 yanayosema Bwana anaketi katika
    muhimili wa nchi/dunia. Pale nilikuwa juu ya
    mhimili wa dunia. Hata nikawaza pia,
    "Bwana, kwa nini kabla ya Christopher Columbus wasingesoma maandiko na
    kujua kuwa nchi/dunia ilikuwa ni
    mviringo." Unajua? Watu walishangaa, walidhani ilikuwa ni tambarare? Hata hivyo, tuliporudi chini tulipita
    katikati ya ngao; Nilijua tulikuwa tukipita
    katikati ya ngao za joto lililokuwa lililozunguka duniani. Nilijua tu hivyo.
    Hata niliwaza mawazo ya kijinga, hapa
    niko na Mungu, na "sijui atakwendaje kupita katikati ya ngao ile
    ya moto?" Unajua jinsi ambavyo angani
    wanavyotakiwa kupenya ngao hiyo kwa pembe/makadirio sahihi.
    Tulikwenda kwa njia hiyo na hakuna
    tatizo lolote gani lillilotokea. Hakuna cha kushangaa! Nina hakika Bwana
    alitazama kwa macho yake na kusema
    ninaweza tu kupita, Kuna maandiko Zaburi 47: 9 inasema kwamba, ... Kwa ngao za dunia ni zake Mungu ... Mungu yuko katika udhibiti wa kila kitu,
    kila kitu. Sikutaka aondoke. Nilitaka
    kuwa katika uwepo wake. Tulikuwa tunashuka kutokea juu kwa kasi
    California. Tulikuwa tunashuka kwa
    haraka, haraka sana, tukaingia mpaka nyumbani kwetu. Na niliangalia
    nikaweza kuona kutokea kwenye paa la
    nyumba yetu. Na niliweza kujiona mwenyewe nimelala juu ya sakafu. Hili
    kweli lilinishangaza sana, kwa sababu
    niliona mwili wangu umelala hapo, nikawaza, "Huyo hawezi kuwa mimi,
    mimi niko hapa, huyu ni mimi!" Unajua,
    wewe hujawahi kuona wawili ambao ni wewe mwenyewe. Hapa nilikuwa
    nimelala pale nikawaza, "Huyo si mimi
    halisi." Na kwamba andiko Paulo analolisemea, kwamba tuko ndani ya
    hema (2 Wakorintho 5:1), likanijia kwa
    nguvu. Nikawaza "hiyo ni hema, si kitu. Huyo ni wa muda. Huyu ni mimi
    halisi." Hiyo ndiyo umilele inavyokuwa.
    Kwamba haya ndiyo maisha tunayojisumbua nayo, nikakumbuka pia
    sisi ni mvuke, maisha haya ni kama
    mvuke kama katika Yakobo 4:14 inazungumzia juu ya ufupi wa maisha
    haya. Ni muda mfupi. Miaka mia moja
    kama ukiwa hai, si kitu! inapotea kama mvuke. Na nikawaza, "Imetupasa
    kuishi kwa ajili ya Mungu."
    Tunachofanya sasa, hapa, kinaandaa
    umilele. Imetupasa kushuhudia. Imetupasa
    kutoka nje na kuokoa waliopotea.
    Hatuwezi kuwa tunajisumbua na vitu
    hivi vidogo kila siku vimetufunga na
    tunahangaika navyo. Tunahitaji kweli
    kutoka nje na kuhubiri injili na habari njema, kwa sababu hii ni zaidi ya haraka
    sana. Nikaona mwili wangu umelala hapo na
    nilifikiri ilikuwa tu kama vile umetoka nje
    ya gari yako na ukangalia nyuma tena kwenye gari yako. Huyo si
    wewe, ni gari yako. Ni vile imekuzunguka
    tu. Hivyo ndivyo jinsi ilionekana kwangu. mwili huo
    umenizunguka tu hapa duniani, lakini
    huyu ndiye mimi halisi. Na nikafikiri, Page 15 15 "Bwana usiondoke, usiondoke". Nataka
    kuendelea kuwa na wewe kwa muda.
    Lakini aliondoka. Nikaurudia mwili wangu, na kitu kikanivuta kwenye mwili
    wangu, kama vile nimerudishwa kwenye
    pua yangu au kinywa changu. Wakati huo, alipoondoka, hofu yote,
    mateso, na adhabu zote zilinirudia
    kwenye mawazo yangu! Kwa sababu inasemwa katika Biblia (1 Yohana 4:18), "Upendo wa kweli hufukuza mbali hofu." Hivyo nilikuwa karibu na upendo kamili muda wote huo, sasa
    akaniacha, na alipoondoka, kwa ghafla
    hofu yote na machungu ya kuzimu yaliingia mawazoni mwangu. Sikuweza
    kuvumilia, sikuweza kuvumilia! Nikapiga
    mayowe. Nilikuwa katika maumivu/uchungu makali/mkali.
    Sikuweza kuishi nayo. Nilijua kuwa mwili
    huu haukuwa na uwezo wa kujisimamia kwa aina hiyo ya hofu.
    Huwezi ukajizuia juu ya shinikizo hiyo.
    Mwili wako hauna nguvu za kutosha kujizuia. Hivyo wakati huo sasa niliomba
    na niliweza wa kuomba, "Ondoa katika
    akili yangu!" Kwa asili, ni lazima upitie kila aina ya
    ushauri nasaha ili kutoka nje ya aina hii
    ya kiwewe, lakini Mungu aliondoa hili nje, papo hapo aliondoa kiwewe,
    majeraha. Aliniachia kumbukumbu,
    lakini aliniondolea kiwewe na hofu. Nilimshukuru. Hata hivyo, baada ya hayo, mambo
    mengi yaliyotokea, Ningependa
    tungekuwa na muda wa kugusia yote
    ambayo Mungu alithibitisha yangetokea kwangu. Kama kuna mtu hapa usiku wa leo,
    ambaye hamjui Bwana; unatakiwa
    ujiulize swali. Unatakiwa kusema, "Je, nawaamini watu hawa, kile walichokiona
    ni halisi, watu wote hawa na mimi
    mwenyewe?" Lakini cha muhimu zaidi, nini Neno la Mungu linasema
    kuhusu Kuzimu. Je, unataka kuchukua
    nafasi hiyo na kusema, "Hapana mimi siamini hii kama ni kweli,. "Basi tupa
    Neno la Mungu lote, na sisi sote
    tunaojaribu kukuambia. Je, uko tayari kuchukua nafasi hiyo milele yako yote?
    hiyo naona ni ujinga kwangu. Huwezi
    ukamruhusu shetani akudanganye. kile kiumbe kikubwa pale mwishoni
    kikicheka. (inavyoonekana katika video) hivyo ndivyo jinsi shetani atakuwa ukifika kuzimu. Atakucheka, kwa sababu
    ulikuwa na nafasi ya kupokea Bwana na
    umeikosa. Lakini utakapokuwa pale, hakuna kurudi nyuma. hakuna
    kabisa kurudi nyuma. Utakuwa huko
    pale umepotea milele. Unaweza kuwa unajisemea wewe
    mwenyewe. "Mimi mzuri. Mimi ni mtu
    mzuri sana. Sistahili mahali pale." Na pengine ni mzuri, ukilinganishwa na
    watu wengi. Lakini sivyo ambavyo
    unahitaji kujilinganisha mwenyewe. Tunahitaji kujilinganisha wenyewe na
    kiwango cha Mungu. Kiwango cha chake
    kiko juu sana kuliko chetu. Anasema katika Neno kwamba kama
    ukisema uongo mara moja, mara moja
    tu katika maisha yako yote, inakufanya mwongo. Kama ukiiba kitu
    kimoja tu katika maisha yako, kwa
    mfano kibanio cha karatasi, dakika kadhaa za bosi wako, au kitu chochote,
    mara moja tu. Inakufanya uwe mwizi.
    Kama ukiwa na hasira bila sababu, kama haukumsamehe mtu aliyekufanyia
    kitu kibaya juu yako, kama ukimtamani
    mwanamke, chochote ya mambo hayo mojawapo, kama wewe ulifanya
    hayo mara moja tu, Hii inakufanya uwe
    mwenye dhambi, na hivyo hauwezi kuingia mbinguni. Hivyo unaweza kuona
    kila mmoja wetu amepungukiwa. Sote
    tumepungukiwa na hatuwezi kufika pale kwa matendo yetu wenyewe. Tito 3:5 inasema, Wala si kwa matendo ya haki ambayo
    tumefanya, bali kwa rehema yake
    alituokoa ... Amina, inategemea na jinsi
    unavyolinganisha. Ni kama mwanamke
    ambaye ameona kundi la kondoo katika mlima, na wote walikuwa weupe sana na
    wazuri upande wa mlima. Akasema,
    "Angalia hao kondoo weupe, angalia jinsi walivyowazuri, weupe."
    Kisha alikwenda kitandani na ghafla
    usiku barafu ikaanguka. Alitazama asubuhi yake na kuona kondoo wote
    wakiwa katika hali ya kufa, wachafu na
    wakijivu kulinganisha na barafu Page 16 16 nyeupe. Hivyo tunapaswa kujilinganisha
    sisi wenyewe na Mungu. Viwango vyake
    viko juu zaidi ya vyetu. Hivyo tunamuhitaji Mkombozi. Hatuwezi kufika
    pale sisi wenyewe. Mungu alifanya hii
    kuwa zawadi ya bure. Alisema katika Yohana 14:6, "mimi ni njia, kweli na uzima. hakuna awezaye kuja kwa
    baba , isipokuwa kupitia mimi." Yeye ni njia pekee ya kutoka hapo. Kwa hivyo kama kuna yeyote Yule
    asiyemjua Bwana, yeyote Yule mahali
    hapa ambaye hakuwahi kumsihi Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha
    yake. Haukuwahi kufikia maamuzi haya
    ambapo inakubidi upaze sauti yako kwa mdomo wako na kumsihi aje
    maishani mwako, Unaweza kusimama?
    Kama kuna yeyote mahali hapa
    unaweza ukasimama, Kwa ajili ya Yesu?
    Usimruhusu shetani, kile kiumbe
    kikucheke. Simama hivi sasa, ukiwa
    bado unanafasi, kwa sababu haujui ni muda
    gani tulionao. Haujui labda kesho
    unaweza kuaga dunia, na kuishia mahali pale. Ngoja nikueleze, mahali pale, moto tu
    wenyewe ni ngumu kuweza kuvumilia.
    wale watu tuliowaona wakiruka kutokea katika minara wa new York.
    Wanashikana mikono yao na kuruka.
    Inatisha kiasi gani. Unajua kama umewahi kuwa juu na ukaangalia chini,
    kuruka ni kitu kisichofikirika. Lakini kule
    ni lazima ukabiliane na moto. Na hiyi ni kwa muda wa sekunde
    tano,unakuwa umeungua tayari, na
    moto wa pale ni kama digrii elfu mbili. Wanasayansi wanasema katikati ya
    dunia ni kama digrii kumi nna mbili elfu.
    Kwa hiyo inakupaswa kuvimilia moto ule kwa umilele. Kama uko tayari
    kupitia hayo, huo utakuwa ni ujinga
    sana. Sasa ni wakati muafaka…. (mtangazaji anaongea) Biblilia iko wazi sana, isi wote ni wenye
    dhambi,na yeyote atakayeliita jina la
    Bwana ataokolewa. Yesus anasema kama ukinikiri mimi mbele za watu , naye
    mbele zao atakiri jina lako mbele ya
    baba yake na malaika watakatifu. na kama ukinikataa mimi mbele ya watu,
    nitakukana mbele ya baba yangu.
    Nataka nikuambia jambo la kufanya kama haujawahi mbele za watu kumkiri
    Yesu Kristo kuwa ni Bwana na mwokozi
    wa maisha yako,au kama hauna uhakika kuwa mbinguni ni mahali ppako
    pa milele, kumbuka Yesu alisulubiwa
    uchi msalabani, sokoni,alisulubiwa pale kwa ajili yako, Alivumilia aibu yako. Kama ukiomba ombi hili kutokea moyoni,
    Mungu ataokoa nafsi yako, na atakupa
    nafasi kwa wakati ujao kulithibitisha hili mbele za watu. Omba
    nasi, hasa wale walio kwenye
    kongamano hili na wanajua imewapasa
    hivi. "Mungu naamini katika wewe. Wewe
    ni muumbaji wangu. mimi ni mwenye
    dhambi. Nimetenda dhambi katika maeneo mengi, kwa kukusudia, na
    kwakutokusudia. Nimepungukiwa na
    utukufu wako.Nimekosa chapa yako Ninanuka uovu. Yesu naamini katika
    wewe. Wewe ni mtoto pekee wa
    Mungu. wewe ni kondoo wa Mungu, uichukuae dhambi ya ulimwengu,
    uliyechukua dhambi zangu. Naamini
    ulukufa msalabani.Ukamwaga damu yako isiyo na hatia kwa ajili ya nafsi
    yangu. Naamini ulizikwa na siku ya
    tatu ulifufuka. Uko hai millele na milele. Nitakuita wewe Bwana.
    Nakuita wewe mwokozi wangu.
    Nakupa wewe maisha yangu.
    Nitakupenda, nitakutumikia siku zote za maisha
    yangu. Nitakuwa wako, chema,
    kibaya, uovu, mipango, ndoto zangu
    nakupa kila kitu. Mapenzi yako yafanyike
    kwangu. Naamini nimeokolewa. Si
    kwa matendo mema, lakini kwa
    imani, kwa kukuamini. Kwa jina la Yesu
    ninaomba. Amen." >>>>> MUITO MKUU KABISA<<<<< Jibu hilo ni sahihi kabisa. Biblia inasema
    mbingu inazizima kwa furaha kwa
    mwenye dhambi mmoja anayetubu. Na sisi tunajua mfano wa yale
    yanayoendelea mbinguni wakati mbingu
    inaposhuhudia nini umefanya leo.
    Nataka niwatangazie baadhi yenu, kisha
    nitahairisha mazungumzo haya. Nataka
    kutoa wito wa mabadiliko kwa wale baadhi yetu walioshuhudia haya. Tuna
    neema ya kipekee kusikia yale ambayo
    kaka yetu Bill aliyapitia. Nakwenda Page 17 17 kutoa changamoto kwako na
    Ninakuonya, usikubali hili isipokuwa uwe
    tayari kwa ajili ya maisha ya Roho maishani mwako. Sijaribu kukutania,
    nasema tu usifanye hili kuwa ni ukiri
    wako labda uwe umeamua kweli kweli. hivi ndivyo ilivyo. Kuna sehemu mbili.
    Moja, sitaendelea tena kuogopa uso wa
    mwanadamu. Kizuizi kimojawapo kikubwa kwetu sisi ni kutofanya kama
    vile unajua kuwa kuna Mbingu na kuna
    Kuzimu. Sitaendelea kuogopa uso wa mwanadamu. Mbili, Nitaongea na
    kila mmoja ninayemjua, Kuhusu Yesu,
    mbinguni na kuzimu, kwa maisha yangu yote. Hiyo ni dhamira/ahadi
    kubwa. Kila mtu ninayemjua mimi
    ambaye anahubiri/anawafikia watu kwa
    ajili ya Kristo anakuwa amefanya maamuzi
    haya. Kwa nini sasa ufanye uhusiano na
    mtu yeyote tu, kama si huu wa kushiriki pamoja nao habari njema
    yenye utukufu iokoayo roho zao na moto
    wa Kuzimu. Ni kosa katika Roho kumjua mtu, kuzungumza nao, na
    kufurahi pamoja nao, kufurahia uwepo
    wao, na kamwe huwaambii kuhusu hili, ya kuwa bila Kristo, watakwenda kuzimu.
    Kila uhusiano unapaswa kuwa ni mlango
    wa kuwasiliana kuhusu kweli ambayo umeshuhudia leo. Hiyo inaleta
    mantiki. Kama wewe hauko tayari
    kufanya hivyo, nitakuelewa. Lakini kama uko tayari kufanya maazimio hayo
    mawili, kama unakubaliana, sema haya
    kwa Mungu, "Mungu nakumini

    Hakuna maoni:

    Visits

    Translate